Luke 3:36-38


36 aSala alikuwa mwana wa Kenani,
Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi,
Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu,
Shemu alikuwa mwana wa Nuhu,
Nuhu alikuwa mwana wa Lameki,

37 bLameki alikuwa mwana wa Methusela,
Methusela alikuwa mwana wa Idrisi,
Idrisi alikuwa mwana wa Yaredi,
Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli,
Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani,

38 cKenani alikuwa mwana wa Enoshi,
Enoshi alikuwa mwana wa Sethi,
Sethi alikuwa mwana wa Adamu,
Adamu alikuwa mwana wa Mungu.
Copyright information for SwhKC